habari za leo??
Ndugu zangu wapendwa leo nimeamua kufungua homepage ambayo itahusu watoto yatima. Napenda wapendwa kote duniani mtakaweza kuisoma blog yangu, mjawe na roho za huruma na kuwapenda watoto yatima. karibu tushirikiane kuwapa UPENDO wa dhati kwani nao wangependa kuishi na wazazi wao ambao kwa namna moja au nyingine hawako nao tena na hawategemei kuwa nao mpaka Yesu arudi. karibu
WMA YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI MITA ZA UMEME VIWANDANI
16 minutes ago