Friday 17 July 2009

yatima ni mwanao mpenzi

habari za leo??

Ndugu zangu wapendwa leo nimeamua kufungua homepage ambayo itahusu watoto yatima. Napenda wapendwa kote duniani mtakaweza kuisoma blog yangu, mjawe na roho za huruma na kuwapenda watoto yatima. karibu tushirikiane kuwapa UPENDO wa dhati kwani nao wangependa kuishi na wazazi wao ambao kwa namna moja au nyingine hawako nao tena na hawategemei kuwa nao mpaka Yesu arudi. karibu