Wednesday 14 October 2009

Upumzike salama mwalimu Nyerere

Leo ni siku ambayo siwezi kuisahau maishani mwangu. tarehe 14 october. Nakumbuka mimi na wanafunzi wenzangu tulikuwa tukiomba sala Nyerere hasife hii tarehe lakini ikashindikana akafa. Tulikuwa tunamaliza darasa la saba ilikuwa siku ya sherehe. Tulizuiwa tusipige ngoma wala mziki, basi wapiga mziki tulokuwa tumela tumewakodisha walikula pesa yetu tu bure. Duh kweli nimekuwa kubwa miaka 10 sasa tangu nimalize darasa la saba ahhah lakini bado ninasoma tu.

Upumzike salama mwalimu daima ifikapo siku kama ya leo ntakukumbuka na naimani wote tuliomaliza darasa la saba au asilimia 90 tuliguswa sana na kifo cha mwalimu.

No comments:

Post a Comment