Tuesday 13 October 2009

Unene unapokuvamia







Jamani mwenzenu nilivamiwa na unene baada ya kupata mimba.
Wakati niko bk miezi 6 kbl sijaolewa nilikuwa hivi(Picha namba moja kutoka chini)

nikajitupa gym kidogo (Picha namba 2)

Nilipojifungua nkawa hivi (Picha namba 3)
Kuona nimekuwa hivi kidogo nikawa nimépunguza mazoezi nikafanya kula tu nikarudi tena nikawa hivi (picha namba nne) hivi sasa niko hivi hapo utuonapo famili ila nataka nipungue kidogo tena so nimeanza gym tena, vifaa vichache ninavyo home ila nashindwa kufanya mwenywe so nimeamua niende gym mwezi hivi ili niweze kujijengea mazoea.

Nahunganika na dada Dina kupunguza miili hii make mili mikubwa hifadhi za magonjwa.

No comments:

Post a Comment